Wachezaji wa Uingereza wana tabia mbaya: Wenger
LYIMO BLOG.

Kocha wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amelalamika kwamba wachezaji wa Uingereza wamekuwa na tabia ya kujirusha na kutengeneza adhabu. Amesema mchezaji wa Tottenham Dele Alli alifanya kitendo hicho kwenye mchezo wa jumapilihuko Liverpool na kusababisha mwamuzi kutoa adhabu ya penati.
Mchezaji mwingine ambaye anatuhumiwa kufanya kitendo hicho ni Harry Kane, alifanya hivyo kwa mchezaji Virgil van Dijk wa Liverpool na kusababisha faulo pia.
- Arsene Wenger: Ligi 'tano bora' Ulaya zinaharibiwa
- Wenger athibitisha Arsenal wanamtafuta Pierre-Emerick Aubameyang
- Arsene Wenger adaiwa 'kuikosea heshima' Dortmund kuhusu Aubameyang
Wenger amesisitiza kwamba anakumbuka kumekuwa na kesi za wachezaji kutoka nje ya Uingereza, lakini wachezaji wa uingereza sasa wameiga tabia hiyo na wamekuwa vinara wa matukio hayo kuliko wachezaji wengine.
Comments
Post a Comment