Makamu rais wa Marekani agoma kula chakula cha jioni na dada rais wa Korea Kaskazini
Makamu rais wa Marekani agoma kula chakula cha jioni na dada rais wa Korea Kaskazini

Makamu rais wa Marekani, Mike Pence amegoma kuwepo katika chakula cha jioni ambacho alitakiwa kukaa meza moja na kiongozi wa serikali ya Korea Kaskazini Kim Yong-nam.
lyimoson@
Comments
Post a Comment